About Us
Chels MICROFINANCE SERVICES LTD ni kampuni inayotoa mikopo iliyosajiliwa mwaka 2015 chini ya sheria ya makampuni No. 12 ya mwaka 2002. Kampuni ilianza kutoa mikopo rasmi mwaka 2016. Mikopo yetu ni ya haraka na ya riba nafuu.
-
Sifa/ Vigezo Vya Mkopaji
Mtanzania yeyote mweneye umri wa miaka 18 na anayejishughulisha na shughuli / biashara halali na aliye ajiriwa na taasisi yeyote.
-
Wadhamini Wa Mkopo
Mume, Mke, Ndugu au Rafiki Wadhamini wawe na umri wa miaka 18 na wanajishughulisha shughuli halali.
-
Viwango Vya Mkopo
Mikopo yetu inaanzia shilingi 200,000 – 100,000,000
Kopa Leo
Our Services
Mikopo Ya Biashara
Dharura kwa wafanyabiashara wadogo na wakubwa.
Mikopo Ya Wafanyakazi
Mikopo ya wafanyakazi kwenye sekta binafsi na umma.
Mikopo Ya Ada
Mikopo ya Ada na wamiliki wa shule pamoja na vyuo.
Dhamana Ya Mkopo
Mikopo Ya Vifaa
Tunatoa mikopo ya vifaa ili kuwawezesha wajasiliamali.
Hati Ya Kiwanja
Hati ya kiwanja iliyosajiliwa, nyumba za biashara au shamba.
Kadi Ya Gari
Kadi ya gari iliyokatiwa bima kubwa.
Simu
Simu (latest smart phones zakisasa) kwa mikopo midogo.
TV na Kompyuta (laptop)
TV (latest smart TV zakisasa) kwa mikopo midogo.
Vifaa Vya Ndani
Kwajili ya mikopo midogo kuanzia 200,000 mpaka 1,000,000.